AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakati wa kuoga fanya mbwe mbwe kidogo msugue mwenzako, mgongoni hata sehemu nyingine hii sio kwa wanawake tu hii ni kwa wapenzi wote wawili tena hususani zaidi kwa wanaume hili ndio zoezi lao, mkimaliza kuoga chukua taulo na mfute mke wako vizuri kisha, chagua yale mafuta anayoyapenda zaidi mpake huku mkipiga story mbili tatu.
Inabidi tufahamu kuwa kunavitu unaweza kuviona ni vya kipuuzi sana kwenye mapenzi lakini, ndio vinavyokukosesha maksi kila siku. Usipomfanyia hivyo kuta watu wengine watafanya halafu utaonekana huna maaana..!! Kantagaze Nimekwambia
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
heheheiya majanga akutangaze nani we ndo unajua leo
ReplyDeleteKweli tupu big up
ReplyDeleteHapo sasa.............napita
ReplyDeleteSure..
ReplyDeleteKAZI KWELIKWELI
ReplyDeleteIko vizur sana
ReplyDeleteaah mimi mgeni nilikuwa napita njia tu.
ReplyDeleteyaaa big up kwa ushaur
ReplyDeleteWanaume wengi sasa wanajua kuparamia tu
ReplyDelete