AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akipiga stori na mapaparazi, Wema alisema kwa muda mrefu alikuwa akitofautiana kauli na mama yake katika suala zima la uhusiano wake na Diamond lakini anamshukuru Mungu amemuelewa na sasa kila kitu kinakwenda sawa.
“Mama nilikuwa nikimsihi sana juu ya uchumba wangu na Diamond lakini sasa tumefikia hatua nzuri namshukuru Mungu amekubali, maana siku hizi nikionana naye ananiuliza vipi mwenzako mzima, anaendeleaje, wakati mwanzoni haikuwa hivyo,” alisema Wema huku akiahidi kumkutanisha Diamond na mama yake. Imeandikwa na Mayasa Mariwata na Shani Ramadhani
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Admin hebu tuambie jinsi ya kupunguza vitambi kwa wake/ waume.
ReplyDeletehaya madudu tumeshachoka nayo sisi
Kwelivkabisa Wrma Diamond real tired
Delete
ReplyDeleteWachosha hasa..........
Hahahaaaa.....kwakwakwakwa......teh teh teh..... Kwa kwel inachosha
ReplyDeleteBora mdau umesema kitu cha maana, tulishachoshwa na ujinga WA domo na wema, unatufundisha nini hapo? Asiyefunzwa na mamaye ulimwengu utamfunza. Tupe dawa za kupunguza matumbo acha ujinga, unakera Sana.
ReplyDelete