Baada ya Kumkimbia Mumewe, Aunt Ezekiel Adungwa Mimba na Mume wa Mtu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ama kweli kuolewa kunazidi kuwa kama fashion. Mnamo mwaka 2012 Aunt Ezekiel aliolewa 
kwa mbwembwe zote na kijana Sunday Del Monte na baadae kwenda kuishia nae huko Dubai.
Sunday wakati huo pesa ilikua si tatizo kwake na hata kukubali kuolewa na kijana yule ilikua ni
kufata pesa zake.

japo baadae aliwekwa kizuizini kutokana na kuishi huko Dubai Kinyume na sheria na hadi sasa 
nasikia bado yuko nyuma ya Nondo akisubiria mwisho wa hatma yake. Baada ya sakata hilo aunt
Ezekiel aliamua Kuamua kurudi Bongo na kuendelea kula bata kama kawa kama dawa

Hivi sasa Mwigizaji huyo mashuhuri kapachikwa Mimba na inaedaiwa kuwa mimba hiyo ni ya mume 
wa mume wa mtu. Habari za mimba hiyo alikua hataki zijulikane na alikua akijificha ficha sema ndio 
wambea tukazinyaka.......Alikua anasema anatamani kupata mtoto sasa aliyokua anatamani yametimia.

Happy birthday Mama Kijacho, Picha hiyo jana kwenye birthday nadhani unaona mwenyewe
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad