AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Huyu ndio yule mtoto wa kidato cha pili kajifungua ndani ya daladala kwa Aziz Ally Dar.......anasoma Kesho sec
alijaribu kunywa dawa ya kutoa mimba mambo ndo yakawa hivo....yaani alivyovaa shungi sidhani kama mzazi wake ataamini....hivi nini kifanyike ili utapaji mimba kwa wanafunzi upungue/uishe....elimu ya mapenzi salama ifundishwe shule au wazazi wawe wawazi kwa watoto zao kuwaeleza njia salama za kufanya mapenzi maana KUMKATAZA haiwezekani maana inaonekana imeshindikana!
~Chanzo:Usipojipangantakupanga
-----------------------------------------
Every day I feel is a blessing from God. And I consider it a new beginning. Yeah, everything is beautiful.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Siku hizi watoto wanalelewa na faceboook, twitter na WhatsApp
ReplyDeletejaman MUNGU awasaidie hawa watoto wa kike/ wa shule maana ni sheeeeeedahhh
ReplyDeleteMhh Ni shiiidah,
ReplyDelete