AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akipiga stori na Over The Weekend, Shilole alisema kuwa anajua kwamba kitendo hicho kimewakwaza wengi na hakukusudia kufanya jambo kama lile. “Nimejifunza mengi na naendelea tena kuomba msamaha kuwa tatizo hili halitajitokeza tena ,niwaombe radhi kina mama na mashabiki wangu,” alisema. Shilole alifanya tukio hilo alipokuwa jijini Antwepen, Ubelgiji kwenye shoo ambapo aliongozana na mpenzi wake,Nuh Mziwanda
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Sasa anaomba radhi huku amevaa the same "nguo isiyo na maadili"! Kazi kwelikweli
ReplyDeleteAnamomba nani radhi? mjinga tu huyu amevaa nini hapo au siku hizi amekuwa kipofu haoni alichovaa?
ReplyDeleteanaomba radhi akiwa uchi ndo nini sasa? anahitaji kuombewa
ReplyDelete