Huu ni Mwezi mgumu kwa Mwanamuziki Diamond Platnumz..Angalia hii Ratiba Hapa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

King of Afro pop anazidi kupata tatizo la kutokupumzika kutokana na kuwa hot cake ambapo kila sehemu wanamuhitaji akatoe show licha ya kuwa na gharama kubwa sana anayotoza kuperform kila show

Sasa >> Nana media tour Nigeria ambapo amesafiri na team yake watu 5, na gharama zote zimelipwa na cocacola mpaka watakapo rudi Tanzania kupitia campaign ya #Iamareason

3, July >> Nigeria road to mama

4, July >> Tanzania, sherehe ya miaka 80 ya Yanga, jangwani

8, July >> Singida, with Mohammed Dewji

18, July >> South Africa, MTVMAMA2015 ambapo atatumbuiza na NEYO

24, July >> Kilimanjaro Miss ambassador ambapo show inaweka rekodi kuwa na viingilio vikubwa nje ya dares salaam
30,000/=, mpaka 300,000/=

25, July >> South Africa, African achievers awards ambapo amekuwa nominated kama Most inspiring icon
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad