AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Ndoa ni kitu cha heri lakini sometime watu wanaweza wakaoana kwa kutafuta experience za ndoa zinakuwaje, watu wakioana inakuwaje, ukishapata experience kila mtu anaendelea kupuyanga,” alisema Nay. “Sasa mimi sijajua kama wao wanatafuta experience za ndoa ili kujua watu wakioana wanakuwaje,”
Aliongez, “Kwa jinsi ninavyomjua Shamsa ni mwanamke kweli, kwa sababu ni mwanamke ambaye anastahili kuwa mke kwa sababu amekaa ‘kiwife material’ kiukweli kabisa, sijui mtu ambaye ameenda kuolewa naye na kuna vitu yeye mwenyewe anatakiwa kubadilika,”
Rapper huyo amedai Shamsa kabla hajaolewa alimwambia kwamba anaenda kuolewa na akampatia baraka zote.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK