AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea na Bongo5 wiki hii, Gigy amedai aliweza kusoma kutokana na pesa ambazo alikuwa akihongwa na muimbaji huyo.
“Mimi kuwa naye nilikuwa napata kitu sikuwa pale bure bure, na kusema kweli alikuwa ananihonga kuliko wanaume wote na nilikuwa nasoma,” alisema Gigy.
Mrembo huyo amedai anahisi Alikiba hajataka awe video queen kwenye video zake kutokana na kuwa naye kwenye mahusiano katika kipindi cha nyuma.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Umesoma mpaka kidato cha ngapi bi dada na umehitimu nini?
ReplyDelete