AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kamani ya Nobel nchini Norway imesema kundi hilo limekuwa shirika kuu la kiraia linaloongoza juhudi za kupigwa marufuku kwa silaha hizo chini ya sheria za kimataifa.
Kamati hiyo, inayoamua mshindi wa tuzo hiyo, imezihimiza nchi zenye silaha za nyuklia kuanzisha mazungumzo kuhusu kumaliza silaha hizo polepole.
Mwaka uliopita, Rais wa Colombia Juan Manuel Santos ndiye aliyeshinda tuzo hiyo kwa sababu ya juhudi zake za kusitisha vita nchini humo kwa kufanikisha mkataba wa kusitisha vita na waasi wa Farc nchini humo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK