Mwanamke Adakwa Baada ya Kuiba Watoto Watatu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwanamke Adakwa Baada ya Kuiba Watoto Watatu
Mama mmoja aliyetambulika kwa jina la Asia Ismali alimaarufu kama Apendeki Katembo Rashid mwenye umri wa miaka 37 raia wa Congo anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuiba watoto watatu Nyamagana Mwanza.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mwanza, Ahmed Msangi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema jeshi la polisi linamshikilia mama huyo kwa tuhuma za kuiba watoto watatu, wawili wakiwa na umri wa miaka mitatu na mmoja akiwa na umri wa mwaka mmoja na nusu.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad