AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mwanza, Ahmed Msangi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema jeshi la polisi linamshikilia mama huyo kwa tuhuma za kuiba watoto watatu, wawili wakiwa na umri wa miaka mitatu na mmoja akiwa na umri wa mwaka mmoja na nusu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK