AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiweka picha kwenye Instagram akiwa na Lulu, Prezzo ameandika, “Wacha waongee Lulu wangu, cha msingi we jua niko na wewe. President hatakuwacha uzame kamwe. Ngechu got u mia mia mia #Rapcellency #GodsSon #TheMakiniTeam #MamaCandy.”
Siku kadhaa zilizopita pia aliweka picha nyingine na kuandika, “Pili pili msioila inawawashia nini?? Tuko freshi ka chungwa #LuluMafia #Rapcellency #TheMakiniTeam.”
Hata hivyo kwenye interview na Dizzim Online wiki kadhaa zilizopita, Prezzo alidai kuwa Lulu ni rafiki yake tu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK