AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Yanga imepishana na wachezaji hao Uwanja wa Ndeje wa Mwalimu Nyerere, baada ya kuondoka mapema leo alfajiri kueleka Congo kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa kufuzu kuelekea AFCON (U20) huko Niger.
Kikosi cha Yanga kiliwasilia majira ya saa 7 usiku wakati Ngorongoro Heroes wakiwa kambini na kuwafanya wasiweze kuonana na wachezaji wenzao Uwanja wa Ndege.
Tayari Ngorongoro Heroes wapo safarini hivi sasa, huku Mussa na Kabwili wakiwa ni miongoni mwa wachezaji walio kwenye msafara wa safari hiyo.
Mussa na Kabwili wataungana na Yanga baada ya kurejea nchini ikiwa tayari wameshakamilisha kibarua cha kufuzu kuelekea AFCON chini ya miaka 20 dhidi ya Congo, zitakazofanyika huko Niger mwakani.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK