AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ashley Toto mwanadada mzaliwa wa Kenya ambaye anaishi Germany kwa sasa anatarajiwa kuigiza na tayari ametoa filamu ndogo iliyopo hewani kwa sasa kwa jina la "MOYO WANGU" katika filamu za Kiswahili zinazotengenezwa nchini Denmark ili kuunganisha nguvu za kutangaza filamu na tamaduni za kiafrika nje ya bara la Afrika.Hivi karibu ni Ashley alikua Denmark akitokea Germany kwa ajili ya issue hizo za filamu...... kampuni ya VAD film production iliopo nchini Denmark pia imesema kuwa ni kweli Actress huyo anayechipukia kwa kasi kwa sasa na mwenye mvuto wa kipekee anatarajiwa kuwa kwenye movies watakazotoa. Ashley mwenyewe alipohojiwa alisema alipenda kuwa Actress tangu utotoni na ameamua kujitambulisha katika game hii ya Movie....Na leo hii pia anasherehekea siku yake ya kuzaliwa.....Happy Birthday Ashley Toto
Angalia Video moja ya Video fupi aliyofanya Ashley Toto Hapa Chini:
----
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
Thanks for the good post.
ReplyDelete