AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aidha injinia huyu wa majengo amesema japo nyumba inaonekana ina marembo mengi na nzuri lakini kama nayo ilijengwa kwa ratio hiyo iliyotumika kujenga ukuta basi kuna hatari ya nyumba yote kuanguka hapo baadae , Injinia huyo amemshauri Diamond Kuleta wataalamu na kuipima nyumba yote ili isije kuleta madhara makubwa
Diamond alifuatwa na kuambiwa lakini mwenyewe alisema kuwa fundi aliyejenga ukuta ni tofauti na aliyejenga nyumba hivyo anaamini nyumba ilijengwa katika ratio nzuri..
Udaku Special Blog
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
domo kuwa mbishi tu, siku moja utakuta nyumba yote chini, hawa mafundi wa siku hizi hamna kitu wao ni pesa tu!
ReplyDeleteHe kumbe kweli ukuta ulianguka? Sasa timu naniliu walikuwa wanabisha na kutukana watu kuwa si kweli haya kiko wapi sasa. Moja baada ya nyingine, leo ukuta, kesho baba wa mtoto atakuja kudai mwanae, keshokutwa?????
ReplyDelete