AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na gazeti la Nipashe Uwoya alisema wasanii wengi wa sasa wanashindwa kufanya kazi kwa sababu wanaona kazi hiyo ni sehemu ya kupatia wapenzi wa kiume.
Alisema wacheza Filamu wa kike huwa wanapenda kujirahisisha kwa Wanaume na matokeo yake kushindwa kutoka kama ilivyo kwa wengi wa waanzilishi wa sanaaa ya uigizaji Filamu nchini.
Hivyo amewataka wasanii wa aina hiyo kuacha tabia ya kujilengesha kwa Wanaume na badala yake wajione wapo kazini muda wote.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hamna lolote, wote mnafanana tu, hakuna msanii wa siku nyingi wala underground.
ReplyDelete