UTAFITI wa TWAWEZA...Msoma Utafiti Ametumia Muda Mwingi Kudefend Matokeo Kuonyesha Uhalali wake Badala ya Kuacha Watu Waamue

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kwa walioangalia Wakati Matokeo ya Utafiti Yanasomwa Main presenter wa huu utafiti Alishindwa kuwa professional kwa kupresent takwimu kulingana na utafiti waliofanya ( kama kweli ni legitimate results) anatumia muda mwingi kudefend matokeo hata kama umati haujauliza swali, kuonyesha uhalali wa matokeo yao, ameonyesha mapenzi ya dhati kwa CCM hasa aliposisitiza Magufuli hana ufisadi, sijui ndo anataka akumbukwe kwenye nafasi za kuteuliwa na magufuli, anaonekana very arrogant, Please be professional, it is a shame to academicians and intellectuals
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

8 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Huyu naona kashavurugwa mpaka kasahau maadili ya tafiti yani research ethics. Mchinga kabisa huyu jamaa hajielewi hata kidogo.

    ReplyDelete
  2. He is not arrogant ila kwa sababu hukubali matokeo na sijui kwa nini huwezi kufunga mdomo wako ukasubiri matokeo ya uchaguzi unajaribu kuwaaminisha watu kwa sababu zako maalumu usiwe na kipingamizi chochote watu wanapo changia maoni yao hii ni demokrasi punguza ukerekweta utapoteza mwamko wa demokrasia

    ReplyDelete
  3. HAPA WANANCHI TUNACHOKIKATAA NI NJAMA ZA CCM,UNAFIKI,WEWE ACHA U-ROBOT WAKO HUMJUI AIDAN WA TWAWEZA NI HIVI LICHA YA URAFIKI WAO WA KARIBU NA JANUARY TOKA SHULE LAKINI PIA AIDAN TWAWEZA NI MKWE WA YUSUPH MAKAMBA BABA YAKE WA KUFIKIA JANUARY ,UNAYAJUA HAYO WEE BWEHA WA CCM? RIPOTI ALIYOISOMA TWAWEZA NDIYO ILE ILE YA JANUARY WIKI ILIYOPITA YA UTAFITI WA CCM.TATIZO WEWE HUJASOMA ,HUKUSOMA,HUELEWI,NI MUHUNI,UNATUMIKA.NARUDIA UNAMJUA VIZURI AIDAN WA TWAWEZA ?KWA WEWE NARUDIA HUMJUI KWA TAARIFA YAKO YEYE NI KADA MKUBWA WA CCM NA YUMO KWENYE TEAM USHINDI [KIFICHO]YA CCM.UNAONAJE UKIKAA KIMYA?KENGELE-KOCHO WEE.

    ReplyDelete
  4. wewe anonymous hapo juu ethic za research ni zipi? tatzo ulitaka matokea yaje yale yale wewe uliojiwekea kichwan yamekuja tofaut na ur wish unaona sio sahihi bas tupe yako uliyofanya tulinganishe...........huwez ukakata kitu km hujui kitu...this this shows how zero ur are........kwann msichukulie hii km changamoto kuliko kutokwa na mapovu at the end of the day nothing will come on ur way

    ReplyDelete
  5. Maneno ya mkosaji,cha kuamua ni sanduku la kura pekee sio kupeleka watu kwa malori katika kampeni halafu mkasema eti kuna mafuriko!Angalieni yatawakumba wenyewe hayo mafuriko!

    ReplyDelete
  6. Vibaraka wa UKAWA mtaimba bila ngoma mwaka huu,INACHOSHAJE!

    ReplyDelete
  7. UKAWA presha ya nini si mafuriko ya Lowassa ndio ushindi au hata hayo mafuriko hamyaamini tena

    ReplyDelete
  8. Hajalazimishwa mtu kuyakubali hayo matokeo, unaweza yapotezea tu, kwani veepee.
    Hao hao twaweza walipo tafiti na kusema katika watu 10, saba hawajua kusoma wala kuandika, mliukubali huo utafiti, lakini kwakuwa kisu kimegusa mfupa, hamtaki.......nyinyi mjiandae kwa maandamano ya mafuriko, najua hamtayaamini hata matokeo ya tarehe 25 Oct.

    ReplyDelete

Top Post Ad