AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wema alifunguka hayo juzikati mara baada ya mwandishi wetu kutaka kujua ana mpango gani kwenye ulimwengu wa ‘malovee’ ndipo alipomwanika Luis kuwa ndiye mwanaume pekee ambaye ameshafikia hatua ya kumuamini na yuko tayari kuzaa naye kwa namna yoyote licha ya kujua ana tatizo la uzazi.
“Luis ndiyo kila kitu kwangu, ndiye mwanaume ambaye tunaelewana na siyo mswahili kama kina mwafulani. Luis nitazaa naye hata kwa ku-adopt (kuasili) mtoto kama njia za kawaida zitashindikana, ndiye mwanaume ambaye nimepanga aje kuwa baba wa watoto wangu,” alisema Wema
Kabla ya kufunguka hayo, Wema alikuwa akimposti mwanaume huyo ambaye alishiriki Shindano la Big Brother-Hotshorts (2014) kwenye ukurasa wake wa Instagram pasipo kuandika kama ni mpenzi wake lakini kwa sasa ameamua kuweka kila kitu hadharani.
Miezi kadhaa iliyopita, Wema aliwahi kuonekana na Luis katika pati ya Instagram iliyofanyika kwenye Viwanja vya Posta jijini Dar kisha wawili hao kudaiwa kulala pamoja katika hoteli moja jijini humo.
Chanzo: GPL
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
hata mama yako ni tasa, alikuokota kwenye jalala Mike Hijab.
ReplyDeletetasa ni samaki bwana mike hija, hanith wee
ReplyDeletemijitu mingine misenge kweli, sasa kama Wema wewe inakuhusu nn,
ReplyDeleteNasikia Wema analiwa tigo na petit man. Mnamibia hana kinyaa.
ReplyDeletePamoja na mdomo wake
ReplyDeleteTusimkashifu kwa kutozaa
Bado mdogo , yote ni mtihani ya mungu,
Msemeni kwa mengine si kwa hili
hata mama yako analiwa tigo na petitiii, itakuwa Wema!
ReplyDelete