Ukweli Kuhusu Tukio la Ngoma Kudaiwa Kumpiga Tambwe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kama ni mmoja kati ya watu waliosikia zile stori za washambuliaji wa Yanga wa kimataifa Donald Ngoma kutoka Zimbabwe na Amissi Tambwe kutoka Burundi kupigana ngumi, June 25 2016 mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa Yanga Jerry Muro ameweka wazi ukweli wa tukio lenyewe.

“Kitendo hicho kinachosemwa sio cha kweli, wachezaji walikuwa kwenye mazoezi wakachezeana rafu kwa bahati mbaya, lakini Tambwe aliumia kidogo lakini habari kuwa waligombana sio kweli, Tambwe na Ngoma ifahamike kuwa hawagombanii namba, wote wapo kikosi cha kwanza”

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad