AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ajali hiyo ilitokea eneo la Maweni, Manyoni, mkoani Singida baada ya mabasi ya kampuni hiyo, moja likitokea Dar es Salaam na lingine likitokea Kahama kuelekea Dar es Salaam kugongana.
Msemaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra), David Mziray amesema leo kuwa kampuni hiyo ina miliki mabasi 12 na yote yamefungiwa kufanya safari yoyote kuanzia leo.
“Mabasi hayo yamefungiwa kuanzia leo kwa muda usiojulikana, ukaguzi wa mabasi yao utaanza kufanyika kupitia jeshi la polisi,” amesema Mziray.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK