Ronaldo Aifikia Rekodi ya Mfunguaji wa Mabao wa Muda Wote wa Michuano ya EURO

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Cristiano Ronaldo inawezekana hafanyi vizuri kwenye michuano ya Euro 2016, lakini licha ya kutocheza katika kiwango chake kinachotarajiwa, bado anauwezo wa kutengeneza na kuvunja rekodi.

Kuvunja rekodi imekuwa ni sehemu ya maisha ya ronado, mara kadhaa amefanya hivyo kwenye klabu yake ya Real Madrid, baada ya goli lake la kichwa dhidi ya Wales amefanikiwa pia kufikia rekodi iliyowekwa na Michel Platini miaka kibao iliyopita.

Ronaldo aliruka juu mithili ya mcheza kikapu Lebron James na kukutana na krosi ya Gueirrero kisha kuuzamisha mpira kambani.



Goli hilo liliipa Ureno uongozi wa goli 1-0 dhidi ya Wales kwenye mchezo wa nusu fainali ya Euro 2016 na kumfanya Ronaldo awe sambamba na rekodi ya legend wa Ufaransa Michel Platini ya kufunga magoli magoli 9 kwenye michuano ya Mataifa ya Ulaya.

Ronaldo alifunga goli lake la kwanza kwenye michuano ya Euro mwaka 2004.

Anahitaji goli moja ili kuwa mfungaji wa muda wote kwenye michuano ya Euro.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad