Ndege Mpya Ziwe Mali ya Serikali, ATCL Wakodishwe tu..Wakishindwa Kazi Wanyang'anywe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ili kuhakikisha hizi ndege zinakuwa katika hali bora na kutumika ipasavyo nashauri hizi ndege ziwe mali ya serikali, ATCL wakodishwe na wakishindwa kulipia wanyang'anywe. Hii pia itasaidia mashirika mengine kuzikodi na kuongeza ufanisi wa shughuli zao. Tukifanya hivyo hata fastjet badala ya kuleta ndege zingine wanaweza kodi hizihizi, hivyohivyo kwa Precision air. pia tunaweza zikodisha hata mashirika ya nje na mashirika ya umoja wa mataifa.

Pili, hii itasaidia hizi ndege kutokuzongwa na madeni ya nyuma ya ATCL na kutumika kwa fedha kinyume ma matarajio, pia hii itasaidia ATCL kumia vizuri faida wanayopata baada ya kutoa gharama za ukodishaji.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. angesubiri akanunua ndege kubwa km tunazoziona nchi jirani za africa

    ReplyDelete

Top Post Ad