AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mke wangu ni mmojawapo wa mwanachuo aliyechaguliwa kujiunga na chuo fulani hapa nchini. Nimeamua kuja kuomba ushauri kwenu kwa sababu upande mmoja wa roho yangu unaniambia usimruhusu na upande mwingine unaniambia mruhusu.
Hili limetokana na tetesi nyingi zinazowahusu wake wa watu kutafunwa kirahisi sana hasa wakiwa mavyuoni. Tuna watoto watatu na sasa hivi anamimba ya miez 4. Mimi nimfanyabishara nataka nimuendeleze mke wangu ili tuweze kuendeleza vizuri biashara zetu.
Naomba ushauri wenu ndugu zangu
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mbona nilisha mfaidi mkeo kama mala tano. Hachana na wivu huyo ni mkeo sio mali yako.
ReplyDelete