Mbeya: Mwenyekiti wa CCM Wilaya Apigwa Risasi Mgongoni Akiwa Usingizini..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Habari kutoka Jijini Mbeya, zimeeleza sema kuwa Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Mbeya Mjini, Ndugu Ephrahim Mwaitenda mwenye umri wa miaka (60) amenusurika kifo baada ya kupigwa risasi mgongoni na mtu au watu wasiofahamika.

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Emmanuel Lukula amesema tukio hilo limetokea mnamo tarehe 29. 01. 2017 majira ya saa 05. 45 usiku katika kitongoji cha Ilopa, Kijiji cha Mahenge, Kata ya Makwele, Tarafa ya Ntebela, wilayani Kyela Mkoa wa Mbeya.

Amesema tukio hilo limetokea wakati akiwa amelala Kitandani nyumbani kwake Ntebela, ambapo mbinu iliyotumika ilikuwa ni kukata wavu wa dirisha na kumjeruhi kwa kutumia silaha za kienyeji zinazotumia risasi za goroli.

Taarifa zaidi zimeeleza kuwa, Mwenyekiti huyo amefikishwa Hospitali ya Rufaa Mbeya na hali yake inaendelea vizuri.

Kamanda Lukula, amewaambia waandishi wa habari kuwa nia ya shambulizi hilo ilikuwa ni kutaka kumuua na kwamba juhudi za kuwatafuta na kuwakamata wahusika zinaendelea Kulia ni Kaimu Katibu wa CCM Mkoa wa Mbeya ndugu Lobe Zongo akimpokea Mwaitenda katika hospitali ya rufaa Mbeya wakati alipofikishwa hospitalini hapo CCM wilaya ya Mbeya mjini ndugu Ephrahim Mwaitenda akifikishwa hospitalini hapo
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad