Mtoto wa Ray, Jaden afuata nyayo za Tiffah na Nillan wa Diamond...!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Tiffah ni mtoto maarufu zaidi kwenye mtandao wa Instagram Afrika akiwa na followers zaidi ya milioni moja. Mdogo wake, Nillan naye anafuata nyayo zake akiwa na followers zaidi ya 99k sasa. Akaunti zao husimamiwa na mama yao, Zari na hutumia Kimombo.

Na sasa mtoto mwingine wa mastaa wa Bongo, Jaden naye amejiunga kwenye kundi la watoto wa aina hiyo.

Jaden ni mtoto wa Ray Kigosi na Chuchu Hans aliyezaliwa wiki hii na tayari amefunguliwa akaunti kwenye mtandao huo. Yake inasimamiwa na mama yake na kama Tiffah na Nillan, amewafollow wazazi wake tu.

Katika kufurahia zawadi ya mtoto, Ray ameendelea kuweka wazi furaha yake kwa kuandika: Nikikuangalia Mwanangu Jaden Nakuwa Na Furaha Isiyo Kifani Na Kunipa Nguvu Ya Kupambana Na Maisha Ili Uishi Vizuri.. Mtoto ana Raha Yake Jamani asikwambie mtu Nyie Puyangeni Tu.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

4 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. hata Paka anazaa, msitubabaishe

    ReplyDelete
  2. mkumbuke na kuwatahiri basi. wasiwe kama wa Saouth AFRICA

    ReplyDelete
  3. Fungeni ndoa, watoto wenyewe mnawapata kwa zinaa

    ReplyDelete

Top Post Ad