Rais Donald Trump Kuanza Kujenga Ukuta wa Kuitengenisha Marekani na Mexico

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa

MAREKANI: Rais Donald Trump asema Serikali yake itaanza kushughulikia ujenzi wa ukuta kati ya nchi yake na nchi jirani ya Mexico. - Meya wa mji wa Mexico City Miguel Espinosa amesema kujengwa kwa ukuta huo, Marekani itajitenga yenyewe na Amerika ya kusini yote.

Mpaka sasa rais wa Mexico amekataa kuchangia gharama za ujenzi huo kama Rais Trump alivyotaka.
_________

LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad