Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa
![](https://lh3.googleusercontent.com/-zu_OqAXvtZY/WIm_ILwizwI/AAAAAAABUgM/Re2u2OVvj4o/s640-rw/%25255BUNSET%25255D.jpg)
MAREKANI: Rais Donald Trump asema Serikali yake itaanza kushughulikia ujenzi wa ukuta kati ya nchi yake na nchi jirani ya Mexico. - Meya wa mji wa Mexico City Miguel Espinosa amesema kujengwa kwa ukuta huo, Marekani itajitenga yenyewe na Amerika ya kusini yote.
Mpaka sasa rais wa Mexico amekataa kuchangia gharama za ujenzi huo kama Rais Trump alivyotaka.
LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com