AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MASTAA wengi Bongo wamekuwa wagumu kuzungumza chochote kuhusu yanayomkuta Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda, mmoja wao akiwa ni Kajala Masanja ambapo yeye alipoulizwa alisema, aachwe kwani mambo ya kiongozi huyo hayamhusu.
Staa huyo aliyewahi kupata ushirikiano mkubwa katika shughuli zake za kisanii kutoka kwa Makonda alipotakiwa kuzungumzia mapito ya kiongozi huyo na kipi angeweza kumshauri alijibu kwa kifupi:
”Hayanihusu jamani.”
Ijumaa: Hayakuhusu vipi wakati alikuwa swahiba wako na amekupa sana sapoti kisanii?
Kajala: Akuuu!
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
walishaachana ndo maana Kajala hataki kumzubgumzia.
ReplyDelete