MEYA wa Moshi Baada ya Kuzuiwa Kuingia Kikao cha JPM Amefunguka Haya Mazito..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Meya wa Manispaa ya Moshi Raymond Mboya amesema kuwa haelewi lilikotoka agizo la kuzuiwa kwake kuingia kwenye kikao cha Rais Magufuli licha ya kuambiwa alihitajika kuhudhuria kikao hicho baada ya kualikwa na Mkurugenzi.

Meya Raymond Mboya na Mbunge wa Moshi Mjini Japhary Michael walizuiwa kuhudhuria kwenye kikao cha JPM na viongozi wa dini alichokifanya mjini Moshi wakati wa ziara ya siku 3 katika Mkoa wa Kilimanjaro

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad