AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Moja ya masharti hayo ni kuwa anayeomba visa lazima awe na uhusiano na mtu mwenye ushirikiano wa kibiashara na Marekani.
Nchi zinazoguswa na masharti hayo ni pamoja na Iran, Libya, Somalia, Sudan Syria na Yemen.
Ujumbe kuhusu masharti hayo umetumwa katika balozi zote za nchi hizo.
Masharti hayo mapya yameanza kutekelezwa jana na yanagusa pia mahusiano ya kifamilia kama mzazi, mkeo ama mumeo, mtoto wa kiume ama wa kike aliye Marekani.
Masharti hayo yanatolewa baada ya Mahakama Kuu nchini Marekani kusitisha kwa muda agizo la Rais Trump la kuzuia nchi za Kiislamu kuingia Marekani, zuio ambalo lilikosolewa.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
atawashughulikia waislam wakati juzi tu alikua arabuni anaomba pesa kwa waislam. labda atashughulikiwa yeye
ReplyDelete