Mchungaji Aliyekuwa Anawalisha Waumini Wake Nyoka na Panya Akimbilia Kuombewa kwa TB Joshua..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mchungaji wa Afrika Kusini ambaye miaka miwili iliyopita alivuma kwa kitendo chake cha kuwalisha waumini wake nyoka, panya , na nywele amejitokeza katika kanisa la mhubiri maarufu wa Nigeria, TB Joshua.

 Mchungaji huyo aliyejitambulisha kwa jina la Mnguni amekaririwa na gazeti la Afrika Kusini la Citizen akidai kuwa moyo wake ulibadilika hasa baada ya kukamatwa na kuachiwa na jeshi la polisi, na kwamba alijisikia kumrudia Mungu wa kweli.

“Nilianza kuangalia Emmanuel TV, kumsikiliza TB Joshua, nikabaini kuwa nilikuwa nafanya kitu ambacho sio cha kiroho. Nilibaini kuwa lile lilikuwa shambulizi dhidi yangu. Nimekuja kwa TB Joshua ili niokolewe,” alisema.

Mnguni alifunguliwa mashtaka na jamii kwa kosa la kufanya ukatili dhidi ya wanyama. Hata hivyo, mashtaka yote yalifutwa baada ya kukosekana kwa ushahidi wa kutosha.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad