AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tokeo la picha la magufuli
Rais Dkt. John Pombe Magufuli
Taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais imesema, tukio hilo linatarajiwa kurushwa mubashara kupitia vyombo vyote vya habari zikiwemo Runinga, Redio, mitandao ya kijamii na tovuti rasmi ya Ikulu.
Rais Magufuli alipokea ripoti ya kwanza ya uchunguzi kuhusu mchanga wa madini ambao husafirishwa nje ya nchi kwa kutumia makontena, mnamo Mei 24, mwaka huu na baada ya Kamati kuwasilisha taarifa hiyo.
Wachumi na wasomi sanjari na wabunge walitoa maoni tofauti kuhusiana na sakata hilo lililobaini Tanzania hupoteza mabilioni ya fedha kupitia rasilimali zake kutokana na baadhi ya wawekezaji na watumishi wa Umma kutokuwa waaminifu.
Hata hivyo ripoti hiyo ya kwanza ilisababisha Waziri wa nishati na Madini, Pro. Sospeter Muhongo na baadhi ya watendaji wa sekta hiyo kufukuzwa kazi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK