AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Shamsa alisema kuwa, ikitokea mumewe kumtaka aachane na uigizaji atamuomba talaka kwani hayupo tayari kuachana na kazi hiyo kwa sababu anaipenda na ndiyo iliyomtoa kimaisha.
“Hata nikiambiwa nafunguliwa biashara ya mabilioni au nipewe hizo fedha ili niache kuigiza sitakuwa tayari kwa kweli, niko tayari kupewa talaka lakini siyo kuacha filamu japokuwa kwa sasa soko limeshuka lakini nitaendelea kuigiza mpaka mwisho wa maisha yangu,” alisema Shamsa.
Stori: Gladness Mallya, Dar
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK