AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mratibu wa bomoa bomoa, Ephrahim Kinyafu amesema Tanroads wameweka kambi eneo hilo tangu saa nne asubuhi wakiwasubiri Tanesco kuendelea na zoezi la kukata umeme lakini hawajafika, walipompigia simu Meneja wa Tanesco Kimara, Christopher Nguma akadai hawawezi kuwakatia umeme wateja wao.
“Tanesco pia wamegoma baada ya kutoa taarifa yetu jana kwamba suala letu la bomoabomoa liko mahakamani kwahiyo wanasema kama tunakesi mahakamani basi hawatakata umeme, “,amesema Kinyafu kwenye Mahojiano yake na Gazeti la Mwananchi.
Hata hivyo, Kinyafu amesema sababu nyingine waliyoieleza Tanesco ni kuwa utaratibu wa kuwakatia umeme unaambatana na kutoa notsi ya saa 48, lakini hawajatoa na badala yake Tanroads wanawataka wakakate umeme kitu ambacho hakiwezekani.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK