AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kijana huyo aliyejulikana kwa jina la Endru Kevela Yono ambaye baba yake ni miongoni mwa wagombea amekutwa chooni katika ukumbi wa mikutano wa St. Gaspar mjini Dodoma ambao ndiyo uchaguzi wa TFF unapofanyika akiwa na burungutu la laki tano huku akiwa amegawa katika mafungu ya shilingi elfu hamsini yakiwa tayari kwa kupatiwa baadhi ya wa jumbe ambao orodha ya majina yao yameandikwa
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Lazaro Mambosasa akizungumza na Shirika la utangazi Tanzanai (TBC) amesema “Tumemkuta chooni ambako aliandaa mazingira kwamba wajumbe wanapo kwenda kule basi wapewe hizo bahasha kwahiyo hakuna ubishi ni swala la rushwa”, amesema.
Kamanda Mambosasa ameongeza kuwa “Niendelea kutoa wito na rai kwa wajumbe na wapambe wao waliyokuja kufuatilia shughuli hii, tulichoonya ndicho tunachokifanya yeyote ambaye atajaribu kuendelea kupuuza kujihusisha na vitendo hivi vya rushwa ajue hatakuwa salama kama alivyokuwa huyu kijana”.
“Huyu kijana sasa yupo mbaroni anaendelea kuhojiwa na jeshi la polisi kwa kushirikiana na TAKUKURU kwahiyo niseme tu kwamba yeyote anayetaka kuendelea nkujihusisha na vitendo hivi hayupo salama nilisema hapo jana kuingia ni rahisi lakini utokaji ni shighuli”amesema kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Lazaro Mambosasa.
By Hamza Fumo
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK