AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hayo yamebainishwa na meneja wake Darsh asubuhi ya leo baada ya msanii wake kushindwa kuhudhuria kipindi ya FRIDAY NIGHT LIVE 'FNL' kutoka EATV usiku wa jana (Ijumaa).
"Naomba radhi kwa kitendo kilichotokea jana kwa msanii wangu Chin Bees kushindwa kuja katika 'show' kutokana na kushikiliwa na polisi baada ya kubainika kufanya kosa alipokuwa katika show yake huko Zanzibar ambako mpaka sasa haijawekwa wazi", alisema Darsh.
Chin Bees kwa sasa anasubiriwa kupelekwa visiwani Zanzibar kwenda kujibu tuhuma zake ambazo zinamkabili.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK