Emma The Boy Aibuka na Kufunguka Kilichomsibu Kwa Siku Tano Bila Kuonekana

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Emma The Boy Aibuka na Kufunguka Kilichomsibu Kwa Siku Tano Bila Kuonekana
Baada ya taarifa kuzagaa kwenye mitandao ya kijamii kutoka kwa ndugu kwamba mtayarishaji wa muziki kutoka THT, Ema The Boy amepotea na ana siku ya tano hajaonekana, Producer huyo ameibuka kupitia mtandao wa Instagram na kueleza kilichomsibu.

Kupitia taarifa hiyo aliyoitoa kupitia mitandao ya kijamii, Ema alisema alikuwa Bagamoyo kikazi na ameomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza kwa ndugu jamaa na marafiki.

Napenda kuchukua nafasi hii kuwajulisha ndugu jamaa na marafiki wote waliokuwa na wasiwasi juu yangu, ukweli ni kwamba nilikuwa Bagamoyo kikazi zangu binafsi, naomba radhi kwa familia, ofisini, na wadau wote kwa usumbufu uliojitokeza
Niko salama na mzima wa Afya .
Ahsanteni.



----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad