AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia taarifa hiyo aliyoitoa kupitia mitandao ya kijamii, Ema alisema alikuwa Bagamoyo kikazi na ameomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza kwa ndugu jamaa na marafiki.
Napenda kuchukua nafasi hii kuwajulisha ndugu jamaa na marafiki wote waliokuwa na wasiwasi juu yangu, ukweli ni kwamba nilikuwa Bagamoyo kikazi zangu binafsi, naomba radhi kwa familia, ofisini, na wadau wote kwa usumbufu uliojitokeza
Niko salama na mzima wa Afya .
Ahsanteni.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK