Japan Kuja na Teknolojia Mpya Kuleta Gari za mbao

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Japan Kuja na Teknolojia Mpya Kuleta Gari za mbao

Ikiwa nchi mbalimbali duniani zimeanza kufanya utafiti wa kutengeneza magari yasiyotumia mafuta, Japan pia imeanza kufanya utafiti wa kutengeneza magari ya mbao ngumu.

Hili linategemewa kuanza kufanyiwa utekelezaji kuanzia miaka 10 ijayo ikiwa ni pamoja na tafiti kuhusu kutengeneza magari ya material ya plastic ambayo yatakuwa rafiki kwa joto na kuchukua nafasi ya magari ya metali.

Wataalamu wanaeleza kuwa lengo kubwa ni kupunguza uzito wa magari pamoja na athari za hewa chafu na kelele ambapo watafiti katika Chuo Kikuu cha Kyoto wameeleza kuwa mbao kwa karne nyingi imetumika kutengeneza meli, nyumba na mengineyo na hivyo gari hizo za mbao zitakua na ubora uleule kama magari ya metali lakini yatapungua uzito kwa asilimia 80.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad