Serikali Yapiga Marufuku Watu Kusafiri

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Serikali Yapiga Marufuku Watu Kusafiri
Serikali ya Cameroon imepiga marufuku mikusanyiko ya wazi pamoja na kusafiri katika jimbo ambalo wakazi wake wengi hutumia lugha ya kingereza kuongea, kuelekea maandamano ambayo yamepangwa kufanyika kesho ya kutaka kujitenga kwa eneo hilo.

Jimbo hilo la kusini magharibi lililopo mpakani mwa Nigeria limezuiwa pia kwa watu kuingia ambao wanaonekana kuwa ni tishio kwa umoja wa taifa hilo la Cameroon.
Maandamano ya kuunga mkono ya kujitoa kwa jimbo hilo yamepangwa kufanyika kesho ikiwa ni siku ya maadhimisho ya miaka 56 ya umoja wa Cameroon, kwa kile kinachodaiwa kwamba watu wanaoongea kiingereza wengi wao wamekuwa wakibaguliwa kutopata nafasi kubwa za ajira serikalini na kwamba lugha ya kifaransa na mfumo wa kisheria imewekwa dhidi yao kuwa kandamiza.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad