AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hatua hiyo ni ya pili katika kesi ya jinai inayomkabili rais huyo ambaye amekanusha madai hayo.
Wanamtuhumu bwana Temor kwa kuchukua hongo na kujaribu kuwanyamazisha mashahidi.
Bwana Temer amepinga madai ya kufanya makosa yoyote.
Mashtaka ya awali ya ufisadi yalizuiwa na bunge la uwakilishi ambalo lina uwezo wa kuamua iwapo rais anafaa kufunguliwa mashtaka au la.
Katika shtaka la pili rais Temer ameshtakiwa pamoja na washirika wake sita wa kisiasa.
Kiongozi wa mashtaka Rodrigo Janot alisema katika taarifa kwamba bwana Temer alihudumu kama kiongozi wa genge la wahalifu linaloshirikisha wanachama waandamizi wa chama chake cha PMDB.
Amesema kuwa kundi hilo lilidaiwa kuchukua hongo ya takriban dola milioni 190 kwa lengo la kuwazawadi waliotoa fedha hizo kandarasi katika kampuni za umma.
Mashtaka hayo yanatokana na ushahidi uliotolewa na mmiliki wa kampuni kubwa ya nyama JBS Joesely Batista na Wesley Batista.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK