AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dudubaya ameeleza hayo kupitia kipindi cha eNewz kutoka EATV baada ya kukutana na Chid katika 'show' mbalimbali akiwa anaimba kwa uwezo wa juu zaidi jambo ambalo likamfanya amini kwamba rafiki yake ameamua kuachana na vitu ambavyo vilimsababisha kumrudisha nyuma kimaendeleo pamoja na kazi zake kisanaa kwa ujumla.
"Suala la msingi kwa sasa nampa 'big up' Chid Benz kwa kuwa ameweza ku-recover katika hali yake, pia namsifu kwa kuweza kuitumia 'mic' vizuri na pumzi ya kutosha. Sina mashaka naye, namkubali sana ila mimi kama kaka yake namsisitizia tena, sitaki nimemuone anarudi kule alipokuwa ameangukia, Mungu amuinuie na amsimamie", amesema Dudubaya.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK