AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika ukurasa wake wa Twitter ambao unaonyesha Nape akiwa katika picha na wananchi wa kijijini ameandika hivi “Watu hawa wanapambana na hali zao! Waliniuliza bomberdia ndio nini? Na sie wa vijijini tutafaidikaje au ni kwenu mjini tu!??
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
huyu jamaa ni vp....unauliza watu ndege wakati hata kiwanja hawana
ReplyDeleteBidhaa km matango mihogo pilipli embe matikiti n.k vina soko sana ulaya hasa UK. Kenya wanauza sana ila hakuna yoyote toka to. Nilipouliza nilijibiwa Kenya wana ndege inayowezesha usafirishaji wa perishable goods
ReplyDeleteNAFURAHI TZ IMEANZA KUNUNUA NDEGE. BIDHAA ZA WANANCHI WA MTAMA ZITAWEZA KUPATA SOKO NJE NA WATAFAIDIKA