Video: Ado Afunguka Kuhusu Kukamatwa Zitto Asema Utawala Haiwezi Kumzima Zitto

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Video: Ado Afunguka Kuhusu Kukamatwa Zitto Asema Utawala Haiwezi Kumzima Zitto
Katibu mwenezi wa ACT Wazalendo Taifa, Bwana Ado Shaibu amefunguka na kusema kuwa utawala pamoja na jeshi la polisi linapomkamata kiongozi wa chama chao, ndugu Zitto Kabwe ni kujaribu kutaka kumtisha jambo ambalo wao wanasema haliwezekani.

Ado Shaibu amesema kuwa utawala wa awamu ya tano chini ya Rais John Pombe Magufuli unaminya sana Demokrasia na haki za kiraia pamoja na kuminya sauti zinazotetea haki za raia na Demokrasia.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Ama kweli...!!!!
    Ado amesema haya au mnamsingizia?

    ReplyDelete

Top Post Ad