Chadema Yamjibu Lazaro Nyarandu Yakubali Ombi Lake la Kuamia Chama Hicho

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Chadema Yamjibu Lazaro Nyarandu Yakubali Ombi Lake la Kuamia Chama Hicho
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimejibu ombi la aliyekuwa Mbunge wa Singida Kaskazini Lazaro Nyalandu ambaye leo amejiuzulu wadhifa huo na kukihama chama cha CCM na kuomba kujiunga CHADEMA.

Akiongea na mwandishi wa East Africa Television, Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano, Uenezi na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema, amesema CHADEMA inamkaribisha mtu yeyote anayetaka kujiunga na chama hicho, kwani chama cha siasa ni watu.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Sasa huku ndio kutakokuwa mafisadi wote wamejaa, na itakuwa hatari kwa mstakabali wa Taifa. Africa iPo kazi,

    ReplyDelete

Top Post Ad