Mzazi Mwenzie na Joti Ampa Makavu Steve Nyerere 'Wewe ni Mkubwaa Jielewe Ufupi Usikufanye Ukajiona Bado Mdogo'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mzazi Mwenzie na Joti Ampa Makavu Steve Nyerere 'Wewe  ni Mkubwaa Jielewe Ufupi Usikufanye Ukajiona Bado Mdogo'
Mwanamama aliyezaa na msanii wa vichekeshomaarufu kama Merisa Bushoke amemtolea povu Steve Nyerere baada ya kumpongeza Joti kwa kufanikisha kufunga ndoa .
Kupitia ukrasa wake wa instagram steve Nyerere alianza kwa kuandika hivi

 "Hii ni familia mpya ndugu yangu Joti ' hakuangalia ule usemi mama wa kambo si mtu mzuri ameangalia mapenzi na utu wa anayemuoa kwa watoto wake na familia yake si wamama wakambo wote wana roho mbaya apana, bali mazingira ya hiyo roho inawekwa na wewe baba kama huna misimamo ya familia yako kwa mwanamke mwenyewe mwenye kukupenda wewe  atapenda na watoto wako na familia yako. Joti jana ulilia ukumbini nikajiuliza kwanini ulilia  nikapewa jibu mtoto wako amepata mtoto bora  huo nao ni ujasiri  sana kuhakikisha  mama huyo mnayeingia naye  mkataba wa kidini anakuwa mama bora, tumekuwa watu wa kukalili unayezaa naye ndio mama bora  kumbe si kweli  Joti umetengua kauli Joti wewe ni shujaaaa,,,,," aliandika steve Nyerere

Baada ya posti hiyo ya Steve nyerere mwanamama huyo naye akajibu kupitia ukrasa wake wa Instagram ameandika hivi na kumtagi Steve Nyerere

"Naitaji kusema hivi huyu mtoto wangu na mm ndo niliemzaa haata mama awe chizi, tahila, mjinga ndo mama ake na hatokuja  kutokea yoyote  ukafananisha upendo wake  na mama yake  kwa hiyo sitaki  maneno na mtu  yeyote kama unataka kupongeza  kitu kizuri kilichoanyika  tumia maneno yasiyomuhusu mwanangu  nadhani umenielewa  na maana yako nini kuongea ulichoongea sijapenda wewe  ni mkubwaa jielewe ufupi usikufanye  ukajiona bado mdogo @stevenyerere2 @stevenyerere2"
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Sawasawa tatizo steve nyerere alikimbia shule

    ReplyDelete

Top Post Ad