AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia ukrasa wake wa instagram steve Nyerere alianza kwa kuandika hivi
"Hii ni familia mpya ndugu yangu Joti ' hakuangalia ule usemi mama wa kambo si mtu mzuri ameangalia mapenzi na utu wa anayemuoa kwa watoto wake na familia yake si wamama wakambo wote wana roho mbaya apana, bali mazingira ya hiyo roho inawekwa na wewe baba kama huna misimamo ya familia yako kwa mwanamke mwenyewe mwenye kukupenda wewe atapenda na watoto wako na familia yako. Joti jana ulilia ukumbini nikajiuliza kwanini ulilia nikapewa jibu mtoto wako amepata mtoto bora huo nao ni ujasiri sana kuhakikisha mama huyo mnayeingia naye mkataba wa kidini anakuwa mama bora, tumekuwa watu wa kukalili unayezaa naye ndio mama bora kumbe si kweli Joti umetengua kauli Joti wewe ni shujaaaa,,,,," aliandika steve Nyerere
Baada ya posti hiyo ya Steve nyerere mwanamama huyo naye akajibu kupitia ukrasa wake wa Instagram ameandika hivi na kumtagi Steve Nyerere
"Naitaji kusema hivi huyu mtoto wangu na mm ndo niliemzaa haata mama awe chizi, tahila, mjinga ndo mama ake na hatokuja kutokea yoyote ukafananisha upendo wake na mama yake kwa hiyo sitaki maneno na mtu yeyote kama unataka kupongeza kitu kizuri kilichoanyika tumia maneno yasiyomuhusu mwanangu nadhani umenielewa na maana yako nini kuongea ulichoongea sijapenda wewe ni mkubwaa jielewe ufupi usikufanye ukajiona bado mdogo @stevenyerere2 @stevenyerere2"
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Sawasawa tatizo steve nyerere alikimbia shule
ReplyDelete