AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Lulu alipost picha ya Zari na kuambatanisha na maneno yanayoashiria kushangazwa na jinsi mwanamama huyo alivyopokelewa na Watanzania kama vile ni Mtanzania halisi.
Kama ilivyo kawaida ya mashabiki baada ya kuiona Post hiyo hawakumuacha salama Lulu, wakamporomoshea koment za kumchamba kuwa anajipendekeza kwa mtu ambaye hana shobo na mastaa wa Bongo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
nyie mbn mabwege hivi watu wamekuja kwa ajili ya nini question? kufunguliwa kwa Danube new branch uwepo wa masumbuko kwani ni mara ya kwanza wacheni kujishusha
ReplyDeleteanamnyoosha yeye hayawani asojijua. mfupi kama sigara.
ReplyDeletehuyu lulu nae alishatiwa na Domo, sema hajmpenda akaachwa fastaa! kama Lednjaa, ndo maana wanahaha kwa bi vuzi ili iweje. na Halima mapengo ndo alikuwa wa kwanza kumfunulia Dai nguo. shubaaaaamit
ReplyDeletehee makubwa bi masumbuko kawaroga lulu nawe wa kusema mie naona bora mwenzangu ukae kimya ufate yako maana ni vichekesho yaani umeji let down mwenyewe na ukawashusha hadhi vidudu mtu vingine vinavo piga kelele huyo bi masumbuko anajijua hakuna anamtaka labda apate mizee kama yeye mwenyewe so kaona afanye nini kasaka deal la danube na ndio njia itakayo mrudisha kwa bwege mwingine asijua wanawake yaani bi masaumbuko kajua kuwa teka akili zenu na huyo bi sandra nae jidai kigoma hatoki boi mie naona nibkama boi wa zari mara abebe handbag mara aende kwa magoti hee kazidi nini huyu bi masumbuko anawacheka masikini wee marimbukeni
ReplyDelete