Hiki Hapa Kiwango Anachopokea Harmonize kwa Mwezi You Tube

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hiki Hapa Kiwango Anachopokea Harmonize kwa Mwezi You Tube
Msanii wa muziki wa Bongo Flava, Harmonize ametaja kiasi cha fedha ambacho anaingiza kwa mwezi kupitia YouTube.

Muimbaji huyo ambaye yupo chini ya usimamizi wa label ya WCB amesema kwa mwezi mmoja anaweza kuingiza kati ya Euro 4,000 au 5,000 sawa na milioni Tsh. Milion 10.

Account ya YouTube ya Harmonize ina subscriber 202, 939 ikiwa na jumla ya video 144.


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad