AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Manfongo amesema anamtafuta Wasowiso ambaye amewahi kuwa meneja wake kwa madai ya kumtapeli pesa yake aliyoichukua kwa makubaliano ya kununua vifaa kwaajili ya maboresho ya gari lake lakini hakufanya hivyo na akatokomea na fedha hizo.
Akiongea na eNEWZ ya East Africa Television Manfongo amesema mkwanja aliotapeliwa na Wasowiso ni shilingi laki mbili na nusu (250,000/=).
Manfongo pia amefunguka kumshangaa Director Ivan ambaye amewahi kumlipa takribani shilingi milioni tano na akamtengenezea video ambayo haina ubora ukilinganisha na kiasi cha fedha alichotoa. “Namshanga Ivan amejiingiza kwenye bifu hilo kwani alikuwa hahusiki”, amesema Manfongo.
Manfongo alimalizia kwa kusema anawashangaa sana wanaomsema kwamba amefulia wakati yeye ndo aliwasaidia mpaka kujulikana kwa jamii ila kwa sasa amejifunza hatarudia makosa aliyoyafanya mwanzo anajipanga upya ndani ya wiki mbili zijazo atatoa nyimbo yake mpya.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK