Nyimbo za Sasa Hazidumu Kwasababu ni Copy Kutoka Nje- TID

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nyimbo za Sasa Hazidumu Kwasababu ni Copy Kutoka Nje- TID
Msanii wa muziki, TID amedai nyimbo za wasanii wa zamani zilikuwa zinadumu muda mrefu zaidi kutokana na wasanii hao kutumia muda mwingi zaidi kuandaa nyimbi zao.

Muimbaji huyo amedai nyingi za siku hizi zinashindwa kufanya vizuri na kudumu kutokana na kuandikwa kiwepesi wepesi.

“Nyimbo nyingi za zamani tulikua tunatumia muda kuandika pia hata waandaji wanafanya ‘mixing’ vizuri tofauti na ngoma za siku hizi zina copy kutoka nje ndio maana hazidumu” TID alikiambia kipindi cha Ladha 3600.

TID amesema wasanii wanatakiwa kuacha kucopy nyimbo za nje ili muziki wa Tanzania uendelee kukuwa.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad