AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muimbaji huyo amedai nyingi za siku hizi zinashindwa kufanya vizuri na kudumu kutokana na kuandikwa kiwepesi wepesi.
“Nyimbo nyingi za zamani tulikua tunatumia muda kuandika pia hata waandaji wanafanya ‘mixing’ vizuri tofauti na ngoma za siku hizi zina copy kutoka nje ndio maana hazidumu” TID alikiambia kipindi cha Ladha 3600.
TID amesema wasanii wanatakiwa kuacha kucopy nyimbo za nje ili muziki wa Tanzania uendelee kukuwa.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK