AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza kwenye msiba wa msanii mwenzao wa nchini Uganda Mowzey Radio, Boby Wine amesema tukio la kupigwa ka Radio sio la kwanza kwa wasanii wa nchini humo, lakini hata hivyo hakuna mtu aliyekamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria na kahi kutendeka, na badala yake wanazidi kushambuliwa.
Boby Wine ameendelea kwa kusema kwamba Radio hakuwa kamilifu kama binadamu wengine, lakini kitendo cha mtu kumpiga mpaka kumsabishia kifo ni kitu kisichovumilika.
“Sio tukio la mara ya kwanza, wala ya pili au ya tatu, Danz Kumapesa watuhumiwa hawajakamatwa, AK47 hawajakamatwa, sasa tunampoteza Radio, sisi sio perfect, lakini nafikiri tunahitaji ulinzi zaidi ili kitu kama hicho kikitokea tunajua tuna ulinzi na haki itatendeka”, amesema Boby Wine.
Taarifa zaidi kutoka nchini Uganda zinasema kwamba polisi wameifunga bar ambayo lilitokea tukio la kupigwa Radio, huku likiendelea kumsaka baunsa anayetuhumiwa kumpiga na kuwakamata tena wafanyakazi wawili wa bar hiyo, ambayo waliachiwa kwa dhamana.
Radio anatarajiwa kuzikwa kesho kijijini kwao nchini Uganda, baada ya mashabiki kuaga mwili wake kwenye uwanja.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK