AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rapper huyo anayetamba na ngoma yake mpya ‘Marathon’ amesema hayo wakati akieleza sababu ya kumshirikisha Bill Nass katika ngoma hiyo.
“Bill Nass kabisa ni mshakaji wangu, ni mtu ambaye tuna-vibe pamoja sana as person yeye ni poa sana na mimi napenda watu ambao wapo OG, cha pili mimi siwezi kufanya kazi na mtu ambaye sina vibe naye, mtu ambaye hana positive vibe,” Rosa Ree ameiambia Bongo5.
Ameongeza kuwa kuzaliwa kwa ngoma hiyo kulitokana na idea aliyokuwa nayo hapo awali na Bill Nass alipokuja na yake ikawa kazi rahisi kuikamilisha.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK