AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Serikali ya nchini Austria jana ilipiga kura kupinga katazo la kutouzwa na kuvuta sigara kwenye migahawa na baa nchini humo ambalo lilikuwa limewekwa na serikali iliyopita ya nchi hiyo, hii ikimaanisha sigara zitauzwa na kuvutwa kama kawaida maeneo hayo.
Utekelezwaji wa jambo hili utaanza rasmi mwezi May mwaka huu. Wabunge wameeleza kuwa jambo hilo linalenga kulinda ‘uhuru wa kuchagua’ wa wananchi wa Austria huku pia ikilinda maslahi ya wenye biashara ya migahawa na bar.
Hata hivyo mwanasiasa mmoja ameeleza kuwa uamuzi huo wa serikali ni kama kufanya maamuzi ya kuwachagulia kifo wananchi wa nchi hiyo. Inaelezwa kuwa jumla ya watu 13,000 wanakufa nchini humo kwa matatizo ya afya yanayotokana na uvutaji sigara.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK